iqna

IQNA

crave halal
TEHRAN (IQNA)- Kuna idadi kubwa ya Waislamu ambao wako nchini Russia kushiriki au kutazama mechi za Kombe la Dunia la FIFA mwaka 2018 na moja kati ya changamoto kubwa ni kupata chakula halali, lakini tatizo hilo limetatuliwa kwa kutumie teknolojia ya kisasa.
Habari ID: 3471563    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/06/18